Kashfa ya ngono inayomkabili mshambuliaji wa Ufaransa,Karim
Benzena inaweza kumkosesha nafasi ya kucheza fainali za Ulaya mwakani

Mshambuliaji wa Ufaransa na klabu ya Madrid Karim Benzema
Fainali hizo zitafanyika Ufaransa ambako Benzema anakabiliwa
na hatari ya kuzikosa zikifanyika katika ardhi ya nyumbani
Endapo hilo litatokea pigo kwa Ufaransa na mshambuliaji wa
Real Madrid
Ushahidi wa mkanda wa video umeonesha kuwa Benzema alificha ukweli
wa tukio la yeye kuhusika katika mapenzi na msichana mwenye umri mdogo
Lakini mazungumzo baina yake na mshambuliaji mwenzakeMathieu
Valbuena yaliyorekodiwa kwa njia ya simu yake yameonesha kuhusika kwa
mshambuliaje huyo
Kwa upande wake Benzema amekuwa akikana kuhusika na kashfa
hiyo akieleza kuwa alikuwa akimshauri Valbuena nini chakufanya anapokuwa katika
wakati mgumu
Hata hivyo uchunguzi wa polosi unaonesha kuwa Benzema
alificha ukweli kuhusu tukio hilo kwa kutoa hongo